Psalms 18:1

Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi

(2 Samweli 22:1-51)

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana aliyomwimbia Bwana wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:

1 aNakupenda wewe, Ee Bwana,
nguvu yangu.
Copyright information for SwhNEN